2 Timotheo 1:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Endelea kushika kigezo cha* maneno yenye manufaa*+ uliyosikia kutoka kwangu kwa imani na upendo unaotokana na muungano pamoja na Kristo Yesu. 14 Linda amana hii nzuri kupitia roho takatifu, inayokaa ndani yetu.+ 2 Timotheo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hata hivyo, endelea kufuata mambo uliyojifunza na uliyoshawishiwa kuamini,+ ukijua ulijifunza mambo hayo kutoka kwa nani, 2 Timotheo 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ingawa hivyo, wewe tunza akili zako katika mambo yote, vumilia hali ngumu,+ fanya kazi ya mweneza-injili,* timiza kikamili huduma yako.+
13 Endelea kushika kigezo cha* maneno yenye manufaa*+ uliyosikia kutoka kwangu kwa imani na upendo unaotokana na muungano pamoja na Kristo Yesu. 14 Linda amana hii nzuri kupitia roho takatifu, inayokaa ndani yetu.+
14 Hata hivyo, endelea kufuata mambo uliyojifunza na uliyoshawishiwa kuamini,+ ukijua ulijifunza mambo hayo kutoka kwa nani,
5 Ingawa hivyo, wewe tunza akili zako katika mambo yote, vumilia hali ngumu,+ fanya kazi ya mweneza-injili,* timiza kikamili huduma yako.+