Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mambo hayo tunayasema pia, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya binadamu,+ bali kwa yale yanayofundishwa kwa roho,+ tunapofafanua* mambo ya kiroho kwa maneno ya kiroho.

  • 1 Wakorintho 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu, kwa kuwa imeandikwa: “Yeye huwanasa wenye hekima katika ujanja wao wenyewe.”+

  • Wakolosai 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Jihadharini ili mtu yeyote asiwachukue mateka* kupitia falsafa na udanganyifu+ mtupu kulingana na mapokeo ya wanadamu, kulingana na mambo ya msingi ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki