13 Mambo hayo tunayasema pia, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya binadamu,+ bali kwa yale yanayofundishwa kwa roho,+ tunapofafanua* mambo ya kiroho kwa maneno ya kiroho.
8 Jihadharini ili mtu yeyote asiwachukue mateka* kupitia falsafa na udanganyifu+ mtupu kulingana na mapokeo ya wanadamu, kulingana na mambo ya msingi ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;