7 Lakini kataa hadithi za uwongo zisizo na heshima,+ kama zile zinazosimuliwa na wanawake wazee. Badala yake, endelea kujizoeza ukiwa na lengo la ujitoaji-kimungu.*
3 Kwa maana kutakuwa na wakati ambapo hawatalivumilia fundisho lenye manufaa,*+ bali, kulingana na tamaa zao, watajikusanyia walimu ili masikio yao yafurahishwe.*+4 Wataacha kuisikiliza ile kweli, nao watageukia hadithi za uwongo.
13 Ushahidi huu ni wa kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali ili wawe na imani yenye afya, 14 na wasisikilize hadithi za uwongo za Kiyahudi na amri za watu ambao wanaiacha kweli.