Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini kataa hadithi za uwongo zisizo na heshima,+ kama zile zinazosimuliwa na wanawake wazee. Badala yake, endelea kujizoeza ukiwa na lengo la ujitoaji-kimungu.*

  • 2 Timotheo 4:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana kutakuwa na wakati ambapo hawatalivumilia fundisho lenye manufaa,*+ bali, kulingana na tamaa zao, watajikusanyia walimu ili masikio yao yafurahishwe.*+ 4 Wataacha kuisikiliza ile kweli, nao watageukia hadithi za uwongo.

  • Tito 1:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ushahidi huu ni wa kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali ili wawe na imani yenye afya, 14 na wasisikilize hadithi za uwongo za Kiyahudi na amri za watu ambao wanaiacha kweli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki