Waefeso 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 alitufanya hai pamoja na Kristo, hata tulipokuwa wafu katika makosa+—mmeokolewa kupitia fadhili zisizostahiliwa. Waefeso 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, ninyi mmeokolewa kupitia imani,+ na si ninyi mliofanya hivyo; badala yake, ni zawadi ya Mungu. Tito 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 (si kwa sababu ya matendo yoyote ya uadilifu tuliyokuwa tumefanya,+ bali kwa sababu ya rehema yake),+ alituokoa kupitia kuoshwa kulikotuleta kwenye uzima,+ na kwa kutufanya wapya kupitia roho takatifu.+
5 alitufanya hai pamoja na Kristo, hata tulipokuwa wafu katika makosa+—mmeokolewa kupitia fadhili zisizostahiliwa.
8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, ninyi mmeokolewa kupitia imani,+ na si ninyi mliofanya hivyo; badala yake, ni zawadi ya Mungu.
5 (si kwa sababu ya matendo yoyote ya uadilifu tuliyokuwa tumefanya,+ bali kwa sababu ya rehema yake),+ alituokoa kupitia kuoshwa kulikotuleta kwenye uzima,+ na kwa kutufanya wapya kupitia roho takatifu.+