11 Hata hivyo, Farao akawaita watu wenye hekima na walozi, na makuhani wachawi wa Misri+ nao pia wakafanya muujiza huohuo kwa uchawi wao.+ 12 Kila mmoja wao akatupa chini fimbo yake, nazo zikawa nyoka wakubwa; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao.