Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Farao akawaita watu wenye hekima na walozi, na makuhani wachawi wa Misri+ nao pia wakafanya muujiza huohuo kwa uchawi wao.*+ 12 Kila mmoja wao akatupa chini fimbo yake, nazo zikawa nyoka wakubwa; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao.

  • Kutoka 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mara moja Musa na Haruni wakafanya kama Yehova alivyowaamuru. Akaiinua fimbo hiyo na kuyapiga maji ya Mto Nile mbele ya Farao na watumishi wake, na maji yote yaliyokuwa katika Mto Nile yakabadilika na kuwa damu.+

  • Kutoka 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini makuhani wachawi wa Misri wakafanya jambo hilohilo kwa mazingaombwe yao,+ hivi kwamba moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi, na kama Yehova alivyosema, Farao hakuwasikiliza.+

  • Kutoka 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, makuhani wachawi wakafanya jambo hilohilo kwa mazingaombwe yao, nao pia wakafanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.+

  • Kutoka 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Makuhani wachawi wakajaribu pia kugeuza mavumbi yawe mbu kwa mazingaombwe yao,+ lakini hawakuweza. Mbu hao wakawavamia wanadamu na wanyama.

  • 2 Timotheo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi kama vile Yane na Yambre walivyompinga Musa, vivyo hivyo hawa pia wanaendelea kuipinga kweli. Watu hao wamepotoshwa akili kabisa, wakiwa wamekataliwa kuhusiana na imani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki