Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Farao akawaita watu wenye hekima na walozi, na makuhani wachawi wa Misri+ nao pia wakafanya muujiza huohuo kwa uchawi wao.*+ 12 Kila mmoja wao akatupa chini fimbo yake, nazo zikawa nyoka wakubwa; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao.

  • Kutoka 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, makuhani wachawi wakafanya jambo hilohilo kwa mazingaombwe yao, nao pia wakafanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.+

  • Kutoka 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Makuhani wachawi wakajaribu pia kugeuza mavumbi yawe mbu kwa mazingaombwe yao,+ lakini hawakuweza. Mbu hao wakawavamia wanadamu na wanyama.

  • Kutoka 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Makuhani wachawi hawakuweza kusimama mbele ya Musa kwa sababu ya majipu hayo, kwa maana makuhani wachawi na Wamisri wote walikuwa wamepatwa na majipu hayo.+

  • 2 Timotheo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi kama vile Yane na Yambre walivyompinga Musa, vivyo hivyo hawa pia wanaendelea kuipinga kweli. Watu hao wamepotoshwa akili kabisa, wakiwa wamekataliwa kuhusiana na imani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki