1 Wakorintho 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu, kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusha njia* zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko. 2 Timotheo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Endelea kushika kigezo cha* maneno yenye manufaa*+ uliyosikia kutoka kwangu kwa imani na upendo unaotokana na muungano pamoja na Kristo Yesu.
17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu, kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusha njia* zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.
13 Endelea kushika kigezo cha* maneno yenye manufaa*+ uliyosikia kutoka kwangu kwa imani na upendo unaotokana na muungano pamoja na Kristo Yesu.