-
1 Timotheo 1:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 na tunatambua kwamba sheria haiwekwi kwa ajili ya mtu mwadilifu, bali kwa ajili ya watu wanaovunja sheria+ na waasi, watu wasiomwogopa Mungu na watenda dhambi, wasio washikamanifu* na wasioheshimu mambo matakatifu, wale wanaoua akina baba, akina mama, au watu wengine, 10 waasherati,* wanaume wanaofanya ngono na wanaume,* wateka nyara, waongo, wanaotoa ushahidi wa uwongo,* na jambo lingine lolote ambalo ni kinyume cha fundisho lenye manufaa*+
-