34 wanawake na wakae kimya katika makutaniko, kwa maana hawaruhusiwi kuzungumza.+ Badala yake, na wajitiishe,+ kama vile Sheria inavyosema pia. 35 Ikiwa wanataka kujifunza jambo fulani, acheni wawaulize waume zao nyumbani, kwa maana ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kutanikoni.