Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 14:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 wanawake na wakae kimya katika makutaniko, kwa maana hawaruhusiwi kuzungumza.+ Badala yake, na wajitiishe,+ kama vile Sheria inavyosema pia. 35 Ikiwa wanataka kujifunza jambo fulani, acheni wawaulize waume zao nyumbani, kwa maana ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kutanikoni.

  • 1 Petro 3:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Vivyo hivyo, ninyi wake, jitiisheni kwa waume zenu,+ ili ikiwa kuna wale wasiotii lile neno, wavutwe bila neno kupitia mwenendo wa wake zao,+ 2 kwa sababu wameshuhudia kwa macho yao mwenendo wenu ulio safi kiadili+ pamoja na heshima kubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki