2 Timotheo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo* wa sasa, naye ameenda Thesalonike, Kresensi ameenda Galatia, Tito ameenda Dalmatia.
10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo* wa sasa, naye ameenda Thesalonike, Kresensi ameenda Galatia, Tito ameenda Dalmatia.