Waroma 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana tunajua kwamba Kristo, kwa kuwa sasa amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ hatakufa tena;+ kifo si bwana juu yake tena. 1 Timotheo 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 yeye peke yake asiyeweza kufa,+ anayeishi katika nuru isiyoweza kufikiwa+ na ambaye hakuna mwanadamu amemwona wala anayeweza kumwona.+ Kwake na kuwe na heshima na nguvu milele. Amina.
9 Kwa maana tunajua kwamba Kristo, kwa kuwa sasa amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ hatakufa tena;+ kifo si bwana juu yake tena.
16 yeye peke yake asiyeweza kufa,+ anayeishi katika nuru isiyoweza kufikiwa+ na ambaye hakuna mwanadamu amemwona wala anayeweza kumwona.+ Kwake na kuwe na heshima na nguvu milele. Amina.