Yohana 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Bado muda kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini ninyi mtaniona,+ kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi. 1 Petro 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Kristo alikufa mara moja kwa wakati wote kwa ajili ya dhambi,+ mtu mwadilifu kwa ajili ya wasio waadilifu,+ ili awaongoze ninyi kwa Mungu.+ Aliuawa katika mwili,+ lakini akafanywa kuwa hai katika roho.+
19 Bado muda kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini ninyi mtaniona,+ kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi.
18 Kwa maana Kristo alikufa mara moja kwa wakati wote kwa ajili ya dhambi,+ mtu mwadilifu kwa ajili ya wasio waadilifu,+ ili awaongoze ninyi kwa Mungu.+ Aliuawa katika mwili,+ lakini akafanywa kuwa hai katika roho.+