Matendo 10:40, 41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Mungu alimfufua siku ya tatu+ na kumfunua,* 41 si kwa watu wote, bali kwa mashahidi waliochaguliwa awali na Mungu, kwetu sisi, tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuliwa kutoka kwa wafu.+
40 Mungu alimfufua siku ya tatu+ na kumfunua,* 41 si kwa watu wote, bali kwa mashahidi waliochaguliwa awali na Mungu, kwetu sisi, tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuliwa kutoka kwa wafu.+