Luka 24:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye alipokuwa akila* pamoja nao akauchukua mkate, akaubariki, akaumega na kuanza kuwapa.+ 31 Ndipo macho yao yakafunguliwa kikamili nao wakamtambua; lakini akatoweka.+ Yohana 21:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yesu akaja, akachukua mkate na kuwapa, na samaki vilevile. 14 Sasa hiyo ilikuwa mara ya tatu+ Yesu kuwatokea wanafunzi baada ya kufufuliwa kutoka kwa wafu.
30 Naye alipokuwa akila* pamoja nao akauchukua mkate, akaubariki, akaumega na kuanza kuwapa.+ 31 Ndipo macho yao yakafunguliwa kikamili nao wakamtambua; lakini akatoweka.+
13 Yesu akaja, akachukua mkate na kuwapa, na samaki vilevile. 14 Sasa hiyo ilikuwa mara ya tatu+ Yesu kuwatokea wanafunzi baada ya kufufuliwa kutoka kwa wafu.