19 Ilipofika jioni siku hiyo, siku ya kwanza ya juma, milango ikiwa imefungwa mahali ambapo wanafunzi walikuwa kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi, Yesu akaja na kusimama katikati yao na kuwaambia: “Na muwe na amani.”+
26 Basi, siku nane baadaye wanafunzi wake walikuwa tena ndani ya nyumba, na Tomasi alikuwa pamoja nao. Yesu akaja, ingawa milango ilikuwa imefungwa, naye akasimama katikati yao na kusema: “Na muwe na amani.”+