-
Yohana 20:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
19 Kwa hiyo, ilipokuwa jioni-jioni siku hiyo, siku ya kwanza ya juma, na, ijapokuwa milango ilikuwa imefungwa kwa kufuli mahali ambamo wanafunzi walikuwa kwa kuhofu Wayahudi, Yesu alikuja na kusimama katikati yao na kuwaambia: “Na mwe na amani.”
-