-
Yohana 20:26Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
26 Basi, siku nane baadaye wanafunzi wake walikuwa tena ndani ya nyumba, naye Tomasi alikuwa pamoja nao. Yesu akaja, ijapokuwa milango ilikuwa imefungwa kwa kufuli, naye akasimama katikati yao akasema: “Na mwe na amani.”
-