19 Pia atainyunyizia madhabahu kiasi fulani cha damu hiyo mara saba kwa kidole chake na kuisafisha na kuitakasa kwa sababu ya uchafu wa Waisraeli.
20 “Baada ya kutoa dhabihu ya kufunika dhambi+ kwa ajili ya mahali patakatifu, hema la mkutano, na madhabahu,+ atamtoa pia yule mbuzi aliye hai.+