-
Waebrania 10:28, 29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza Sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+ 29 Mnafikiri mtu ambaye amemkanyagia chini Mwana wa Mungu na ambaye ameiona kuwa yenye thamani ya kawaida tu damu ya agano+ ambayo kupitia hiyo alitakaswa, na ambaye ameidharau roho ya fadhili zisizostahiliwa, atapata adhabu kubwa kadiri gani?+
-