6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.
4 Kwa maana kuhusu wale ambao wakati fulani walikuwa kwenye nuru,+ na ambao wameonja zawadi ya bure ya kimbingu na ambao wamekuwa washiriki wa roho takatifu