Habakuki 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana maono hayo bado yatatimia kwa wakati wake uliowekwa,Nayo yanasonga haraka kuelekea mwisho* wake, nayo hayatasema uwongo. Hata yakikawia,* endelea kuyatarajia!*+ Kwa maana hakika yatatimia. Hayatachelewa! 2 Petro 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova* hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyodhani,* bali ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+
3 Kwa maana maono hayo bado yatatimia kwa wakati wake uliowekwa,Nayo yanasonga haraka kuelekea mwisho* wake, nayo hayatasema uwongo. Hata yakikawia,* endelea kuyatarajia!*+ Kwa maana hakika yatatimia. Hayatachelewa!
9 Yehova* hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyodhani,* bali ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+