16 akawaambia: “Mnapowasaidia wanawake Waebrania kuzaa,+ wanapokuwa kwenye kiti cha kuzalia, mnapaswa kumuua mtoto huyo ikiwa ni wa kiume; lakini ikiwa ni wa kike, mwacheni aishi.”
22 Hatimaye Farao akawaamuru hivi watu wake wote: “Mnapaswa kumtupa kwenye Mto Nile kila mtoto mchanga wa kiume anayezaliwa na Waebrania, lakini mtamwacha hai kila mtoto wa kike.”+