Mathayo 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yesu akakaribia na kuwaambia: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.+ 1 Wakorintho 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba hilo halimhusu Yule aliyevitiisha vitu vyote chini yake.+ Waefeso 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Alivitiisha pia vitu vyote chini ya miguu yake+ na kumfanya kuwa kichwa juu ya vitu vyote kuhusiana na kutaniko,+
27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba hilo halimhusu Yule aliyevitiisha vitu vyote chini yake.+
22 Alivitiisha pia vitu vyote chini ya miguu yake+ na kumfanya kuwa kichwa juu ya vitu vyote kuhusiana na kutaniko,+