Waroma 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe,+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.”+ 2 Wakorintho 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi ninapendezwa na udhaifu, na matusi, na nyakati za uhitaji, na mateso na shida, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa na nguvu.+ 1 Petro 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ikiwa mnashutumiwa* kwa ajili ya jina la Kristo, ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.
3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe,+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.”+
10 Basi ninapendezwa na udhaifu, na matusi, na nyakati za uhitaji, na mateso na shida, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa na nguvu.+
14 Ikiwa mnashutumiwa* kwa ajili ya jina la Kristo, ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.