Waroma 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana, ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kupitia kifo cha Mwana wake,+ tutaokolewa hata zaidi kwa uhai wake, kwa kuwa sasa tumepatanishwa.
10 Kwa maana, ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kupitia kifo cha Mwana wake,+ tutaokolewa hata zaidi kwa uhai wake, kwa kuwa sasa tumepatanishwa.