12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usisitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+ 13 lakini endeleeni kutiana moyo kila siku, maadamu inaitwa “Leo,”+ ili yeyote kati yenu asifanywe kuwa mgumu kwa nguvu za udanganyifu za dhambi.