Zaburi 95:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,Na sisi ni watu wa malisho yake,Kondoo anaowatunza.*+ Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ 8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama mlivyofanya kule Meriba,*+Kama katika siku ya Masa* kule nyikani,+
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,Na sisi ni watu wa malisho yake,Kondoo anaowatunza.*+ Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ 8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama mlivyofanya kule Meriba,*+Kama katika siku ya Masa* kule nyikani,+