Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 3:7-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo, kama vile roho takatifu inavyosema,+ “Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake, 8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali, kama siku ile ya jaribu nyikani,+ 9 ambayo mababu zenu waliniweka kwenye jaribu, na kunipima, ingawa waliona matendo yangu kwa miaka 40.+ 10 Ndiyo sababu nilichukizwa na kizazi hiki, nikasema: ‘Wao hupotoka sikuzote katika mioyo yao, nao hawazijui njia zangu.’ 11 Kwa hiyo niliapa kwa hasira yangu: ‘Hawataingia katika pumziko langu.’”+

  • Waebrania 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 yeye tena anaweka siku fulani kwa kusema baadaye katika zaburi ya Daudi, “Leo”; kama ilivyosemwa hapo juu, “Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki