35 Waisraeli walikula mana kwa miaka 40,+ mpaka walipofika katika nchi iliyokaliwa na watu.+ Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa nchi ya Kanaani.+
13 Basi hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli naye akawafanya watangetange nyikani kwa miaka 40,+ mpaka kizazi chote kilichokuwa kikifanya maovu machoni pa Yehova kilipoangamia.+