Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wana wenu watakuwa wachungaji nyikani kwa miaka 40,+ nao lazima wateseke kwa sababu ya matendo yenu ya kukosa uaminifu* mpaka mtu wenu wa mwisho atakapofia nyikani.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza kwa miaka 40 nyikani,+ nguo mlizovaa hazikuchakaa na viatu mlivyovaa havikuchakaa miguuni mwenu.+

  • Yoshua 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Waisraeli walitembea miaka 40+ nyikani mpaka taifa lote lilipokufa, yaani, wanaume wote wa kwenda vitani waliotoka Misri ambao hawakutii sauti ya Yehova.+ Yehova aliwaapia kwamba hatawaruhusu kamwe waione nchi+ ambayo Yehova alikuwa amewaapia mababu zao kwamba atatupatia,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.+

  • Zaburi 95:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho, nikasema:

      “Wao ni watu wanaopotoka sikuzote katika mioyo yao;

      Hawajazijua njia zangu.”

  • Matendo 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa kipindi cha karibu miaka 40, akawavumilia huko nyikani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki