Zaburi 95:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+Nami nikasema:“Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+
10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+Nami nikasema:“Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+