13 Basi hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli naye akawafanya watangetange nyikani kwa miaka 40,+ mpaka kizazi chote kilichokuwa kikifanya maovu machoni pa Yehova kilipoangamia.+
10 Basi kama alivyoahidi,+ Yehova amenihifadhi hai+ kwa miaka 45 tangu Yehova alipompa Musa ahadi hiyo Waisraeli walipotembea nyikani;+ ningali hai leo, nina umri wa miaka 85.