Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, hakuna mtu hata mmoja aliyeona utukufu wangu na miujiza+ niliyofanya nchini Misri na nyikani ambaye bado ananijaribu+ mara hizi kumi na kukataa kusikiliza sauti yangu+ 23 ataiona nchi niliyoapa kwamba nitawapa baba zao. Hakuna mtu hata mmoja anayenidharau atakayeiona.+

  • Zaburi 95:7-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,

      Na sisi ni watu wa malisho yake,

      Kondoo anaowatunza.*+

      Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+

       8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama mlivyofanya kule Meriba,*+

      Kama katika siku ya Masa* kule nyikani,+

       9 Mababu zenu waliponijaribu;+

      Walinipima, ingawa walikuwa wameona matendo yangu.+

      10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho, nikasema:

      “Wao ni watu wanaopotoka sikuzote katika mioyo yao;

      Hawajazijua njia zangu.”

      11 Kwa hiyo niliapa kwa hasira yangu:

      “Hawataingia katika pumziko langu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki