2 Samweli 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Roho ya Yehova ilisema kupitia mimi;+Neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+ Matendo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe, ambalo roho takatifu ilisema kinabii kupitia Daudi kumhusu Yuda,+ aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.+
16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe, ambalo roho takatifu ilisema kinabii kupitia Daudi kumhusu Yuda,+ aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.+