Luka 12:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Mtumwa huyo aliyeelewa mapenzi ya bwana wake lakini hakujitayarisha wala kufanya alichoambiwa* atapigwa sana.+ Yohana 9:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Yesu akawaambia: “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na dhambi. Lakini sasa mnasema, ‘Tunaona.’ Dhambi yenu inabaki.”+ Yohana 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kama singekuja na kuzungumza nao, hawangekuwa na dhambi.+ Lakini sasa hawana kisingizio kwa ajili ya dhambi yao.+
47 Mtumwa huyo aliyeelewa mapenzi ya bwana wake lakini hakujitayarisha wala kufanya alichoambiwa* atapigwa sana.+
41 Yesu akawaambia: “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na dhambi. Lakini sasa mnasema, ‘Tunaona.’ Dhambi yenu inabaki.”+
22 Kama singekuja na kuzungumza nao, hawangekuwa na dhambi.+ Lakini sasa hawana kisingizio kwa ajili ya dhambi yao.+