1 Wakorintho 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, msihukumu+ chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje. Ataleta mambo ya siri yaliyo ya giza kwenye nuru na pia kujulisha nia za mioyo, na ndipo kila mtu atakapopokea sifa yake kutoka kwa Mungu.+
5 Kwa hiyo, msihukumu+ chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje. Ataleta mambo ya siri yaliyo ya giza kwenye nuru na pia kujulisha nia za mioyo, na ndipo kila mtu atakapopokea sifa yake kutoka kwa Mungu.+