Wakolosai 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote. Endeleeni kufundishana na kutiana moyo* kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho zinazoimbwa kwa shukrani,* mkimwimbia Yehova* mioyoni mwenu.+
16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote. Endeleeni kufundishana na kutiana moyo* kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho zinazoimbwa kwa shukrani,* mkimwimbia Yehova* mioyoni mwenu.+