Ufunuo 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hao ndio wale ambao hawakujitia unajisi na wanawake; kwa kweli, wao ni mabikira.+ Hao ndio wanaoendelea kumfuata Mwanakondoo popote anapoenda.+ Hao walinunuliwa+ kutoka kati ya wanadamu wakiwa matunda ya kwanza+ kwa Mungu na kwa Mwanakondoo,
4 Hao ndio wale ambao hawakujitia unajisi na wanawake; kwa kweli, wao ni mabikira.+ Hao ndio wanaoendelea kumfuata Mwanakondoo popote anapoenda.+ Hao walinunuliwa+ kutoka kati ya wanadamu wakiwa matunda ya kwanza+ kwa Mungu na kwa Mwanakondoo,