Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nilisema: “Nitailinda hatua yangu

      Ili niepuke kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+

      Nitakilinda kinywa changu kwa lijamu+

      Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”

  • Methali 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Maneno yanayosemwa bila kufikiri huchoma kama upanga,

      Lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+

  • Methali 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ulimi wa mwenye hekima hutumia vizuri ujuzi,+

      Lakini kinywa cha mpumbavu hububujika ujinga.

  • 1 Petro 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana “yeyote anayependa uzima na kuona siku zilizo njema, lazima aulinde ulimi wake usiseme mabaya+ na midomo yake isiseme udanganyifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki