Waroma 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kuwa wale wanaoishi kulingana na mwili hukaza akili zao kwenye mambo ya mwili,+ lakini wale wanaoishi kulingana na roho kwenye mambo ya roho.+ Wagalatia 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Isitoshe, wale walio wa Kristo Yesu wametundika mwili mtini pamoja na mawazo na tamaa zake mbaya.+
5 Kwa kuwa wale wanaoishi kulingana na mwili hukaza akili zao kwenye mambo ya mwili,+ lakini wale wanaoishi kulingana na roho kwenye mambo ya roho.+
24 Isitoshe, wale walio wa Kristo Yesu wametundika mwili mtini pamoja na mawazo na tamaa zake mbaya.+