-
Waroma 13:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Kwa maana watawala ni kitu cha kuogopesha, si kwa tendo jema, bali kwa baya.+ Je, unataka usiogope hiyo mamlaka? Endelea kufanya mema,+ nayo itakusifu; 4 kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu kwako kwa faida yako. Lakini ikiwa unafanya mabaya, ogopa, kwa maana haichukui upanga bila kusudi. Hiyo ni mhudumu wa Mungu, nayo hulipiza kisasi ili kuonyesha ghadhabu* dhidi ya yule anayefanya mabaya.
-