Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wafilipi 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo, wapendwa wangu, kama vile ambavyo mmekuwa mkitii sikuzote, si wakati tu ninapokuwapo, bali kwa utayari zaidi sasa nisipokuwapo, endeleeni kuufanyia kazi wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka.

  • 2 Timotheo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Fanya yote unayoweza ili ujitoe kwa Mungu ukiwa mtu aliyekubaliwa, mfanyakazi asiye na lolote la kuonea aibu, ukilitumia sawasawa neno la kweli.+

  • Waebrania 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo acheni tufanye yote tunayoweza ili kuingia katika pumziko hilo, ili yeyote asije akaanguka katika kielelezo kilekile cha kutotii.+

  • Yuda 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wapendwa, ingawa nilikusudia kuwaandikia kuhusu wokovu tulio nao kwa pamoja,+ niliona ni lazima niwaandikie ili kuwahimiza mfanye pigano kali kwa ajili ya imani+ ambayo watakatifu walipewa mara moja kwa wakati wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki