Yuda 17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini ninyi wapendwa, kumbukeni maneno yaliyosemwa zamani* na mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo, 18 jinsi walivyokuwa wakiwaambia: “Wakati wa mwisho kutakuwa na wadhihaki, watakaofuata tamaa zao zisizompendeza Mungu.”+
17 Lakini ninyi wapendwa, kumbukeni maneno yaliyosemwa zamani* na mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo, 18 jinsi walivyokuwa wakiwaambia: “Wakati wa mwisho kutakuwa na wadhihaki, watakaofuata tamaa zao zisizompendeza Mungu.”+