1 Wakorintho 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa kila mtu anayeshiriki katika shindano* hujizuia* katika mambo yote. Bila shaka, wao hushindana ili wapate taji linaloweza kuharibika,+ lakini sisi taji lisiloharibika.+ 2 Timotheo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana, bali anahitaji kuwa mpole* kwa wote,+ mwenye uwezo wa kufundisha, anayejizuia anapokosewa,+
25 Sasa kila mtu anayeshiriki katika shindano* hujizuia* katika mambo yote. Bila shaka, wao hushindana ili wapate taji linaloweza kuharibika,+ lakini sisi taji lisiloharibika.+
24 Kwa maana mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana, bali anahitaji kuwa mpole* kwa wote,+ mwenye uwezo wa kufundisha, anayejizuia anapokosewa,+