Isaya 65:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana, tazama! ninaumba mbingu mpya na dunia mpya;+Na mambo ya zamani hayataingia tena akilini,*Wala hayataingia tena moyoni.+ Isaya 66:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Kwa maana kama vile mbingu mpya na dunia mpya+ ninazoumba zitakavyoendelea kusimama mbele zangu,” asema Yehova, “ndivyo uzao wenu* na jina lenu litakavyoendelea kudumu.”+ Ufunuo 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami nikaona mbingu mpya na dunia mpya;+ kwa maana mbingu ya kwanza na dunia ya kwanza zilikuwa zimepitilia mbali,+ na bahari+ haipo tena.
17 Kwa maana, tazama! ninaumba mbingu mpya na dunia mpya;+Na mambo ya zamani hayataingia tena akilini,*Wala hayataingia tena moyoni.+
22 “Kwa maana kama vile mbingu mpya na dunia mpya+ ninazoumba zitakavyoendelea kusimama mbele zangu,” asema Yehova, “ndivyo uzao wenu* na jina lenu litakavyoendelea kudumu.”+
21 Nami nikaona mbingu mpya na dunia mpya;+ kwa maana mbingu ya kwanza na dunia ya kwanza zilikuwa zimepitilia mbali,+ na bahari+ haipo tena.