1 Yohana 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini yeyote anayeshika neno lake, kwa kweli upendo wa Mungu umekamilishwa katika mtu huyo.+ Hivyo ndivyo tunajua kwamba sisi tumo katika muungano na yeye.+
5 Lakini yeyote anayeshika neno lake, kwa kweli upendo wa Mungu umekamilishwa katika mtu huyo.+ Hivyo ndivyo tunajua kwamba sisi tumo katika muungano na yeye.+