Yohana 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ili wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Yeyote ambaye hamheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.+ 2 Yohana 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kila mtu anayevuka mipaka na ambaye hakai katika fundisho la Kristo hana Mungu.+ Mtu anayekaa katika fundisho hili ndiye aliye na Baba na Mwana pia.+
23 ili wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Yeyote ambaye hamheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.+
9 Kila mtu anayevuka mipaka na ambaye hakai katika fundisho la Kristo hana Mungu.+ Mtu anayekaa katika fundisho hili ndiye aliye na Baba na Mwana pia.+