9 Kwa maana ukitangaza waziwazi kwa kinywa chako kwamba Yesu ni Bwana,+ na kuwa na imani moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokolewa. 10 Kwa sababu kwa moyo mtu huwa na imani ili apate uadilifu, lakini kwa kinywa mtu hufanya tangazo la hadharani+ ili apate wokovu.