1 Petro 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu* yenye kuharibika, bali kupitia ile isiyoharibika,+ kupitia neno la Mungu aliye hai na anayedumu.+ 1 Yohana 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wapendwa, na tuendelee kupendana,+ kwa sababu upendo unatoka kwa Mungu, na kila mtu ambaye hupenda amezaliwa kutokana na Mungu na anamjua Mungu.+
23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu* yenye kuharibika, bali kupitia ile isiyoharibika,+ kupitia neno la Mungu aliye hai na anayedumu.+
7 Wapendwa, na tuendelee kupendana,+ kwa sababu upendo unatoka kwa Mungu, na kila mtu ambaye hupenda amezaliwa kutokana na Mungu na anamjua Mungu.+